MYDUKA ONLINE
WhatsApp
E-ONLINE
Karibu sana kwenye E-Online Business! Hapa ndipo unapoweza kujifunza, kutangaza bidhaa zako, na kuagiza bidhaa bora kutoka kwa wauzaji mbalimbali mtandaoni. Ungana nasi sasa kuanza safari yako ya mafanikio ya kidijitali!

Mambo 20 unayopaswa kufahamu kabla ya kuingia chuo

Nunua eBook ya EADRYC

📘 Mambo 20 unayopaswa kufahamu kabla ya kuingia chuo

eBook ya kipekee kutoka E-ONLINE Tambua mambo muhimu ambayo unapaswa kuyafahamu kabla ya kuingia chuo ambayo yatakusaidia kukuandaa kijamii,kisaikolijia na kielimu pia.

eBook Cover ya EADRYC

Unachopata ndani ya eBook:

  • Mambo 20 muhimu katika safari ya kielimu chuoni
  • Ushauri wa kina kwenye kila jambo
  • Mbinu mbalimbali za kufanikisha malengo yako
  • Maelezo ya kina kwenye kila jambo

💸 Bei ya Ofa: TZS 2,500 tu

Ikiwa umevutiwa na eBook hii, bonyeza kitufe hapa chini ili kuagiza kupitia WhatsApp na kufanya malipo kwa urahisi.

📱 Agiza Sasa

Maswali Yanayoulizwa Sana

✅ ebook ina kurasa ngapi? ebook ni fupi yenye kurasa 59 zenye maelezo tu.

✅ eBook iko kwa lugha gani? Kiswahili sanifu, inaelekeza kwa mtindo wa rafiki na wa kitaalamu.

✅ Inatolewa vipi? Baada ya malipo, unatumiwa eBook kupitia WhatsApp au email.

✅ Namna ya kulipa? Lipa TZS2,500 kwa namba: 0694 244 680(Mwajuma Ally) (Airtel Money).

Una swali lolote au unahitaji msaada wa haraka? Wasiliana nasi mojakwamoja .

📨 Wasiliana Nasi

EADRYC [a graphic designer]