Domain name

 

Huduma ya Kununua na Kuunganisha Domain na Blog

Unataka blog yako iwe na jina la kipekee kama mydukaonline.com badala ya .blogspot.com? Tunakusaidia:

  • Kununua domain name yako (com, co.tz, net n.k.)
  • Kuunganisha domain hiyo na blog yako ya Blogger
  • Kuweka SSL (https) ili iwe salama
  • Kushauri jina bora kwa brand yako

Faida ya Kuwa na Domain Yako:

  • Kuaminika zaidi kwa wateja
  • Inaongeza thamani ya biashara yako
  • Rahisi kukumbukwa na kutafutwa Google

Gharama:

Tsh 30,000 - Tsh 50,000 (kutegemeana na aina ya domain unayochagua kununua mfano.com au .ac.tz + Tsh 5000 ya kukunganishia)


Tuma Maombi ya Domain: